Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:5-8

Zaburi 119:5-8 NEN

Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara katika kuyatii maagizo yako! Hivyo mimi sitaaibishwa ninapozingatia amri zako zote. Nitakusifu kwa moyo mnyofu ninapojifunza sheria zako za haki. Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 119:5-8

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha