Mathayo 10:6-8
Mathayo 10:6-8 NENO
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea. Mnapoenda, hubirini ujumbe huu, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.



