Kwani hili nimelitambua kuwa kweli kabisa: Kukiwa kufa au kuishi, wakiwa malaika au wenye nguvu, yakiwa ya leo au ya kale, zikiwa nguvu za mbinguni juu au za kuzimuni chini, vikiwa viumbe vyo vyote vingine, hakuna kitakachoweza kututenga sisi na upendo wake Mungu uliotutokea katika Kristo Yesu, Bwana wetu.*