1
Waroma 9:16
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Kwa hiyo kutaka kwa mtu siko, wala mbio zake sizo, ila Mungu mwenye huruma ndiye yeye tu.
Linganisha
Chunguza Waroma 9:16
2
Waroma 9:15
Kwani anamwambia Mose: Nitakayemhurumia, nitamhurumia kweli; nitakayemwonea uchungu, nitamwonea uchungu wa kweli.
Chunguza Waroma 9:15
3
Waroma 9:20
Mwenzangu, u mtu gani ukitaka kubishana na Mungu? Je? Kiko chombo kitakachomwambia muumbaji: Mbona umenifanya hivi?
Chunguza Waroma 9:20
4
Waroma 9:18
Kwa hiyo humhurumia, anayemtaka; tena humshupaza, anayemtaka.
Chunguza Waroma 9:18
5
Waroma 9:21
Mfinyanzi haufanyishi udongo, kama anavyotaka? Donge lililo moja upande mmoja haliumbi kuwa chombo kizuri, nao upande mwingine kuwa kibaya?
Chunguza Waroma 9:21
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video