Waroma 8:16-17
Waroma 8:16-17 SRB37
Hiyo Roho yake yenyewe huzishuhudia roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wake Mungu. Lakini tukiwa watoto, basi, tunakuwa hata warithi, maana warithi wake Mungu watakaopata urithi pamoja na Kristo; tukiwa tunateswa pamoja naye tutapata hata kutukuzwa pamoja naye.