1
Waroma 7:25
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Mungu atolewe shukrani kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo! Basi, kwa akili zangu mimi mwenyewe nayatumikia kitumwa Maonyo yake Mungu, lakini mwilini ni mtumwa wa maonyo ya ukosaji.
Linganisha
Chunguza Waroma 7:25
2
Waroma 7:18
Kwani najua: Humu ndani yangu, maana mwilini mwangu, hamna chema cho chote; kama ni kutaka, ninako, lakini kama ni kukifanya kilicho kizuri, sinako.
Chunguza Waroma 7:18
3
Waroma 7:19
Kwani kilicho chema, ninachokitaka, sikifanyi; ila kilicho kiovu, nisichokitaka, ndicho, ninachokifanyiza.
Chunguza Waroma 7:19
4
Waroma 7:20
Lakini mimi nisichokitaka, ninapokifanya hichohicho, basi, si mimi tena ninayekifanya, ila ndio ukosaji unaonikalia moyoni.
Chunguza Waroma 7:20
5
Waroma 7:21-22
Hivyo mimi ninayetaka kukifanya kilicho kizuri, ninaona nguvu ngeni kwangu inayonishurutisha kukifanya kilicho kiovu. Kwani ninayaitikia Maonyo yake Mungu na kuyashangilia huku ndani moyoni.
Chunguza Waroma 7:21-22
6
Waroma 7:16
Nami nisichokitaka, ninapokifanya hichohicho, basi, ninayaitikia Maonyo kuwa mazuri.*
Chunguza Waroma 7:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video