1
Mateo 18:20
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Kwani watu wawili au watatu wanapolikusanyikia Jina langu, nami nipo hapo katikati yao.
Linganisha
Chunguza Mateo 18:20
2
Mateo 18:19
Tena nawaambiani: Kila jambo, wenzenu wawili nchini watakalopatana kuliomba, watapewa na Baba yangu alioko mbinguni.
Chunguza Mateo 18:19
3
Mateo 18:2-3
Akaita kitoto, akamsimamisha katikati yao, akasema: Kweli nawaambiani: Msipogeuka, mkawa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbingu.
Chunguza Mateo 18:2-3
4
Mateo 18:4
Mtu atakayejinyenyekeza mwenyewe, awe kama kitoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbingu.
Chunguza Mateo 18:4
5
Mateo 18:5
Naye atakayepokea kitoto mmoja kama huyu kwa jina langu hunipokea mimi.
Chunguza Mateo 18:5
6
Mateo 18:18
Kweli nawaambiani: Lo lote, mtakalolifunga nchini, litakuwa limefungwa hata mbinguni; nalo lo lote, mtakalolifungua nchini, litakuwa limefungwa hata mbinguni; nalo lo lote, mtakalolifungua nchini, litakuwa limefunguliwa hata mbinguni.
Chunguza Mateo 18:18
7
Mateo 18:35
Ndivyo, naye Baba yangu wa mbinguni atakavyowatendea ninyi, msipoondoleana mioyoni mwenu kila mtu na ndugu yake.*
Chunguza Mateo 18:35
8
Mateo 18:6
Lakini mtu atakayekwaza mmoja tu aliye mwenzao hawa wadogo wanaonitegemea inamfaa kutungikwa shingoni pake jiwe kubwa la kusagia, kisha atoswe kilindini mwa bahari.
Chunguza Mateo 18:6
9
Mateo 18:12
Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, tena mmoja wao akipotea, hatawaacha wale tisini na tisa milimani, aende kumtafuta yule aliyepotea?
Chunguza Mateo 18:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video