1
Warumi 6:23
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; hali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Linganisha
Chunguza Warumi 6:23
2
Warumi 6:14
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sharia, hali chini ya neema.
Chunguza Warumi 6:14
3
Warumi 6:4
Bassi tulizikwa pamoja nae kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tutembee katika upya wa uzima.
Chunguza Warumi 6:4
4
Warumi 6:13
wala msitoe viungo vyenu kuwa silaha ya dhulumu kwa dhambi; bali jitoeni nafsi zenu sadaka kwa Mungu kama walio hayi baada ya kufa, na viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha za haki.
Chunguza Warumi 6:13
5
Warumi 6:6
tukijua haya, ya kuwa mtu wetu wa kale alisulibishwa pamoja nae, illi mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena
Chunguza Warumi 6:6
6
Warumi 6:11
Vivyo hivyo na ninyi jihesabuni kuwa wafu kwa dhambi, na wahayi kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Chunguza Warumi 6:11
7
Warumi 6:1-2
TUSEME nini bass? Tudumu katika dhambi illi neema iwe nyingi zaidi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?
Chunguza Warumi 6:1-2
8
Warumi 6:16
Hamjui ya kuwa kwake yeye ambae mnajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake na kumtumikia, m watumwa wake yule mmtiiye, ikiwa utumishi wa dhambi uletao mauti, au utumishi wa utii uletao haki.
Chunguza Warumi 6:16
9
Warumi 6:17-18
Lakini Mungu ashukuriwe, kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake; na mlipokwisha kuandikwa huru mkawa mbali ya dhambi, mlifanywa watumwa wa haki.
Chunguza Warumi 6:17-18
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video