Soma Biblia Kila Siku 10/2024Sample

Kuna tofauti kubwa kati ya dhabihu zilizotolewa na makuhani na ile moja aliyoitoa Kristo. Makuhani walitoa dhabihu mara nyingi, kwani hazikuweza kufuta kumbukumbu. Kila mara iliwabidi kujiandaa kwa toleo lingine. Yesu, baada ya kutoa sadaka ya nafsi yake,aliketi mkono wa kuume wa Mungu(m.12). Kuketi kwake huashiria mapumziko baada ya kukamilisha kazi, tena ushindi na utawala. Yesu ana mamlaka ya kutusamehe. Hapana haja ya toleo lingine, kwa sababu imeandikwa kuwa kwa toleo moja amewakamilisha hata milele hao wanaotakaswa(m. 14). Tafakari kwa utulivu maana yake kwako.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 10/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania, Kutoka na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Made for More

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

The Family Business: Living Like Jesus. Loving Like Jesus. Leading Like Jesus.

Love People?!

Jesus Is Our "Light of the World"

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track
