Soma Biblia Kila Siku 2Sample

Zaburi hii yaonyesha picha ya Bwana kama mchungaji mwema kwa namna isiyosahaulika. Mwimba Zaburi asemapo, Bwana ndiye mchungaji wangu(m.1), anashuhudia kuwa ana uhusiano wa binafsi naye. Hakika Bwana yu mchungaji mwema. Hujishugulisha sana na mahitaji ya kondoo wake. Akisha kumpa chakula kizuri na kinywaji kizuri humhakikishia usalama, wema, fadhili na makao ya milele (m.2, 4 na 6). Zaburi hii hutukumbusha kuwa Yesu ni mchungaji mwema, kama alivyosema mwenyewe: “Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo” (Yn 10:7-11). Je, Yesu ni mchungaji wako pia?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Related Plans

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Bible in a Month

Sharing Your Faith in the Workplace

Never Alone

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Everyday Prayers for Christmas

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Holy Spirit: God Among Us
