1
Mathayo 22:37-39
Biblia Habari Njema
BHN
Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’. Hii ndiyo amri kuu na ya kwanza. Ya pili inafanana na hiyo: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.
ប្រៀបធៀប
រុករក Mathayo 22:37-39
2
Mathayo 22:40
Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”
រុករក Mathayo 22:40
3
Mathayo 22:14
Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”
រុករក Mathayo 22:14
4
Mathayo 22:30
Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.
រុករក Mathayo 22:30
5
Mathayo 22:19-21
Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha. Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
រុករក Mathayo 22:19-21
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ