1
Marko 7:21-23
Biblia Habari Njema
BHND
Maana kutoka ndani, moyoni mwa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu unajisi.”
ប្រៀបធៀប
រុករក Marko 7:21-23
2
Marko 7:15
Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu kutoka nje kinachoweza kumtia mtu unajisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu unajisi.”
រុករក Marko 7:15
3
Marko 7:6
Yesu akawajibu, “Wanafiki nyinyi! Nabii Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu alipoandika: ‘Mungu asema: Watu hawa, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao, wako mbali nami.
រុករក Marko 7:6
4
Marko 7:7
Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’
រុករក Marko 7:7
5
Marko 7:8
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
រុករក Marko 7:8
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ