1
Marko 15:34
Biblia Habari Njema
BHND
Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, akasema, “Eloi, Eloi, lema sabakthani?” Maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
ប្រៀបធៀប
រុករក Marko 15:34
2
Marko 15:39
Jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake alipoona kwamba Yesu alikata roho namna hiyo, akasema, “Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
រុករក Marko 15:39
3
Marko 15:38
Basi, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.
រុករក Marko 15:38
4
Marko 15:37
Yesu akapaza sauti kubwa, akakata roho.
រុករក Marko 15:37
5
Marko 15:33
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa giza likaikumba nchi yote.
រុករក Marko 15:33
6
Marko 15:15
Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.
រុករក Marko 15:15
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ