1
Mathayo 12:36-37
Biblia Habari Njema
BHND
“Basi, nawaambieni, siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema. Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”
ប្រៀបធៀប
រុករក Mathayo 12:36-37
2
Mathayo 12:34
Enyi kizazi cha nyoka! Mnawezaje kusema mambo mema hali nyinyi ni waovu? Maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni.
រុករក Mathayo 12:34
3
Mathayo 12:35
Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya.
រុករក Mathayo 12:35
4
Mathayo 12:31
Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.
រុករក Mathayo 12:31
5
Mathayo 12:33
“Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake yatakuwa mazuri; ufanyeni kuwa mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya. Mti hujulikana kwa matunda yake.
រុករក Mathayo 12:33
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ