1
Mathayo 10:16
Biblia Habari Njema
BHND
“Sasa, mimi nawatuma nyinyi kama kondoo kati ya mbwamwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa.
ប្រៀបធៀប
រុករក Mathayo 10:16
2
Mathayo 10:39
Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.
រុករក Mathayo 10:39
3
Mathayo 10:28
Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu.
រុករក Mathayo 10:28
4
Mathayo 10:38
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
រុករក Mathayo 10:38
5
Mathayo 10:32-33
“Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
រុករក Mathayo 10:32-33
6
Mathayo 10:8
Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
រុករក Mathayo 10:8
7
Mathayo 10:31
Kwa hiyo msiogope; nyinyi mna thamani kuliko shomoro wengi.
រុករក Mathayo 10:31
8
Mathayo 10:34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
រុករក Mathayo 10:34
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ