1
Luka 1:37
Biblia Habari Njema
BHND
Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”
ប្រៀបធៀប
រុករក Luka 1:37
2
Luka 1:38
Maria akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.” Kisha yule malaika akaenda zake.
រុករក Luka 1:38
3
Luka 1:35
Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu.
រុករក Luka 1:35
4
Luka 1:45
Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokuambia.”
រុករក Luka 1:45
5
Luka 1:31-33
Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake. Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”
រុករក Luka 1:31-33
6
Luka 1:30
Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema.
រុករក Luka 1:30
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ