1
Marko MT. 7:21-23
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, zina, asharati, wizi, uuaji, tamaa mbaya, hila, jeuri, kijicho, matukano, kiburi, upumbafu. Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu najis.
ប្រៀបធៀប
រុករក Marko MT. 7:21-23
2
Marko MT. 7:15
Hapana kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia najis, bali vimtokayo, ndivyo vimtiavyo najis yule mtu.
រុករក Marko MT. 7:15
3
Marko MT. 7:6
Akawaambia, Isaya aliwakhubiri vema ninyi wanaliki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa hunibeshimu kwa midomo, Bali mioyo yao iko mbali nami
រុករក Marko MT. 7:6
4
Marko MT. 7:7
Lakini waniabudu ibada ya burre, Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wana Adamu.
រុករក Marko MT. 7:7
5
Marko MT. 7:8
Kwa maana mmeiacha amri ya Mungu, na kuzishika hadithi za wana Adamu, kuosha midumu na vikombe: na mengine mengi ya namna hii mwayafanya.
រុករក Marko MT. 7:8
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ