1
Mwanzo 32:28
Biblia Habari Njema
BHN
Yule mtu akamwambia, “Hutaitwa Yakobo tena, bali Israeli, kwa kuwa umeshindana na Mungu na wanadamu, ukashinda.”
مقایسه
Mwanzo 32:28 را جستجو کنید
2
Mwanzo 32:26
Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
Mwanzo 32:26 را جستجو کنید
3
Mwanzo 32:24
Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
Mwanzo 32:24 را جستجو کنید
4
Mwanzo 32:30
Yakobo akapaita mahali hapo Penueli, akisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, nami sikufa.”
Mwanzo 32:30 را جستجو کنید
5
Mwanzo 32:25
Mtu huyo alipoona kwamba hawezi kumshinda Yakobo, alimgusa Yakobo nyonga ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye mwereka.
Mwanzo 32:25 را جستجو کنید
6
Mwanzo 32:27
Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”
Mwanzo 32:27 را جستجو کنید
7
Mwanzo 32:29
Ndipo Yakobo akamwambia, “Tafadhali, nakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia, “Ya nini kuniuliza jina langu?” Kisha akambariki Yakobo.
Mwanzo 32:29 را جستجو کنید
8
Mwanzo 32:10
sistahili hata kidogo fadhili ulizonipa kwa uaminifu mimi mtumishi wako. Nilipovuka mto Yordani, sikuwa na kitu ila fimbo; lakini sasa ninayo makundi haya mawili.
Mwanzo 32:10 را جستجو کنید
9
Mwanzo 32:32
Ndiyo maana mpaka leo Waisraeli hawali msuli wa nyonga, kwa maana yule mtu alimgusa Yakobo panapo nyonga katika msuli wa kiuno chake.
Mwanzo 32:32 را جستجو کنید
10
Mwanzo 32:9
Kisha Yakobo akamwomba Mungu akisema, “Ee Mungu wa babu yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu Isaka! Ewe Mwenyezi-Mungu uliyeniambia nirudi katika nchi yangu kwa jamaa yangu, ukaniahidi kunitendea mema
Mwanzo 32:9 را جستجو کنید
11
Mwanzo 32:11
Nakuomba uniokoe sasa kutoka kwa ndugu yangu Esau, maana nina hofu kuwa atatushambulia na kutuua sote, akina mama pamoja na watoto.
Mwanzo 32:11 را جستجو کنید