Malaki 3
3
1 # Taz Mat 11:10; Marko 1:2; Luka 1:76; 7:27 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema, “Tazama, namtuma mjumbe wangu anitangulie kunitayarishia njia. Bwana mnayemtafuta atalijia hekalu lake ghafla. Mjumbe mnayemtazamia kwa hamu kubwa atakuja na kutangaza agano langu.”
2 # Taz Yoe 2:11; Ufu 6:17 Lakini ni nani atakayestahimili siku hiyo atakapokuja? Ni nani atakayesimama kustahimili atakapotokea? Yeye ni kama moto mkali usafishao chuma; ni kama sabuni ya dobi. 3Yeye atakuja kuhukumu kama mtu asafishaye na kutakasa fedha. Atawasafisha wazawa wa Lawi, kama mtu afuavyo dhahabu au fedha, mpaka wamtolee Mwenyezi-Mungu tambiko zinazokubalika. 4Hivyo, tambiko za watu wa Yuda na wa Yerusalemu zitampendeza Mwenyezi-Mungu kama za watu wa kale; kama katika miaka ya zamani.
5Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema: “Kisha nitawakaribia ili kuwahukumu. Sitasita kutoa ushahidi dhidi ya wachawi, wazinzi, watoa ushahidi wa uongo, wanaowapunja waajiriwa, wanaowadhulumu wageni na wale wasionicha mimi.
Zaka na tambiko
6“Mimi ni Mwenyezi-Mungu, mimi sibadiliki. Lakini nyinyi, nyinyi wazawa wa Yakobo hamjatoweka bado. 7Tangu wakati wa wazee wenu, mmezidharau kanuni zangu wala hamkuzifuata. Basi, mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu nasema: Nirudieni, nami nitawageukieni. Lakini nyinyi mnauliza, ‘Tutakurudia namna gani?’ Nami nawaulizeni, 8Je, ni sawa mtu kumdanganya Mungu? La! Lakini nyinyi mnanidanganya! Walakini nyinyi mwauliza: ‘Tunakudanganya kwa namna gani?’ Naam! Mnanidanganya kuhusu zaka na tambiko zenu. 9Nyinyi na taifa lenu lote mmelaaniwa kwa sababu ya kunidanganya. 10#Taz Lawi 27:30; Hes 18:21-24; Kumb 12:6; 14:22-29; Neh 13:12 Leteni ghalani mwangu zaka yote, ili nyumbani mwangu kuwe na chakula cha kutosha. Kisha mwaweza kunijaribu. Nijaribuni namna hiyo nanyi mtaona kama sitayafungua madirisha ya mbinguni na kuwatiririshia baraka tele. 11Wadudu waharibifu nitawakemea wasiyaharibu tena mazao yenu. Mizabibu yenu mashambani haitaacha kuzaa matunda. Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema. 12Ndipo mataifa yote yatawaita nyinyi watu waliobarikiwa, maana nchi yenu itakuwa nchi ya furaha. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu nimesema.”
13Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Maneno yenu yamekuwa mzigo kwangu. Hata hivyo mnasema, ‘Tumesema nini dhidi yako?’ 14Nyinyi mmesema, ‘Kumtumikia Mungu hakuna faida. Kuna faida gani kuyatii maagizo ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi, au kujaribu kumwonesha kuwa tumekosa mbele yake kwa kutembea kama watu wanaoomboleza? 15Tuonavyo sisi, ni kwamba, wenye kiburi ndio wenye furaha daima. Watu waovu, licha ya kustawi, hata wanapomjaribu Mungu, hawapati adhabu.’”
16Ndipo watu wanaomcha Mwenyezi-Mungu walipozungumza wao kwa wao, naye Mwenyezi-Mungu akasikia mazungumzo yao. Mbele yake kikawekwa kitabu ambamo iliandikwa kumbukumbu ya wale wanaomcha na kumheshimu. 17Iliandikwa hivi: Mwenyezi-Mungu asema: “Hao watakuwa watu wangu. Watakuwa urithi wangu maalumu siku ile nitakapoinuka kufanya ninalokusudia. Sitawadhuru kama vile baba asivyomdhuru mwanawe anayemtumikia. 18Hapo ndipo mtakapotambua tena tofauti iliyopo kati ya waadilifu na waovu; naam, kati ya mtu anayemtumikia Mungu na asiyemtumikia.”
Currently Selected:
Malaki 3: BHN
Highlight
Copy
Compare
Share
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.
Malachi 3
3
The Coming Messenger
1“Behold, #Matt. 11:10; Mark 1:2; Luke 1:76; 7:27; John 1:23; 2:14, 15I send My messenger,
And he will #(Is. 40:3)prepare the way before Me.
And the Lord, whom you seek,
Will suddenly come to His temple,
#Is. 63:9Even the Messenger of the covenant,
In whom you delight.
Behold, #Hab. 2:7He is coming,”
Says the Lord of hosts.
2“But who can endure #Jer. 10:10; Joel 2:11; Nah. 1:6; (Mal. 4:1)the day of His coming?
And #Is. 33:14; Ezek. 22:14; Rev. 6:17who can stand when He appears?
For #Is. 4:4; Zech. 13:9; (Matt. 3:10–12; 1 Cor. 3:13–15)He is like a refiner’s fire
And like launderers’ soap.
3#Is. 1:25; Dan. 12:10; Zech. 13:9He will sit as a refiner and a purifier of silver;
He will purify the sons of Levi,
And purge them as gold and silver,
That they may #(1 Pet. 2:5)offer to the Lord
An offering in righteousness.
4“Then #Mal. 1:11the offering of Judah and Jerusalem
Will be pleasant to the Lord,
As in the days of old,
As in former years.
5And I will come near you for judgment;
I will be a swift witness
Against sorcerers,
Against adulterers,
#Lev. 19:12; Zech. 5:4; (James 5:12)Against perjurers,
Against those who #Lev. 19:13; James 5:4exploit wage earners and #Ex. 22:22widows and orphans,
And against those who turn away an alien—
Because they do not fear Me,”
Says the Lord of hosts.
6“For I am the Lord, #(Num. 23:19; Rom. 11:29; James 1:17)I do not change;
#(Lam. 3:22)Therefore you are not consumed, O sons of Jacob.
7Yet from the days of #Acts 7:51your fathers
You have gone away from My ordinances
And have not kept them.
#Zech. 1:3Return to Me, and I will return to you,”
Says the Lord of hosts.
#Mal. 1:6“But you said,
‘In what way shall we return?’
Do Not Rob God
8“Will a man rob God?
Yet you have robbed Me!
But you say,
‘In what way have we robbed You?’
#Neh. 13:10–12In tithes and offerings.
9You are cursed with a curse,
For you have robbed Me,
Even this whole nation.
10#Prov. 3:9, 10Bring all the tithes into the #1 Chr. 26:20storehouse,
That there may be food in My house,
And try Me now in this,”
Says the Lord of hosts,
“If I will not open for you the #Gen. 7:11windows of heaven
And #2 Chr. 31:10pour out for you such blessing
That there will not be room enough to receive it.
11“And I will rebuke #Amos 4:9the devourer for your sakes,
So that he will not destroy the fruit of your ground,
Nor shall the vine fail to bear fruit for you in the field,”
Says the Lord of hosts;
12“And all nations will call you blessed,
For you will be #Dan. 8:9a delightful land,”
Says the Lord of hosts.
The People Complain Harshly
13“Your#Mal. 2:17 words have been harsh against Me,”
Says the Lord,
“Yet you say,
‘What have we spoken against You?’
14#Job 21:14You have said,
‘It is useless to serve God;
What profit is it that we have kept His ordinance,
And that we have walked as mourners
Before the Lord of hosts?
15So now #Ps. 73:12we call the proud blessed,
For those who do wickedness are raised up;
They even #Ps. 95:9tempt God and go free.’ ”
A Book of Remembrance
16Then those #Ps. 66:16who feared the Lord #Heb. 3:13spoke to one another,
And the Lord listened and heard them;
So #Ps. 56:8a book of remembrance was written before Him
For those who fear the Lord
And who meditate on His name.
17“They#Ex. 19:5; Deut. 7:6; Is. 43:21; (1 Pet. 2:9) shall be Mine,” says the Lord of hosts,
“On the day that I make them My #Is. 62:3jewels.
And #Ps. 103:13I will spare them
As a man spares his own son who serves him.”
18#(Ps. 58:11)Then you shall again discern
Between the righteous and the wicked,
Between one who serves God
And one who does not serve Him.
Currently Selected:
:
Highlight
Copy
Compare
Share
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
The Holy Bible, New King James Version, Copyright © 1982 Thomas Nelson. All rights reserved.