YouVersion Logo
Search Icon

Mk 2:1, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22

Mk 2:1 SUV

Akaingia Kapernaumu tena, baada ya siku kadha wa kadha, ikasikiwa ya kwamba yumo nyumbani.

Mk 2:3 SUV

Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.

Mk 2:6 SUV

Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao

Mk 2:11 SUV

Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.

Mk 2:13 SUV

Akatoka tena, akaenda kando ya bahari, mkutano wote ukamwendea, akawafundisha.

Mk 2:20 SUV

Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana-arusi, ndipo watakapofunga siku ile.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy