YouVersion Logo
Search Icon

Yn 5:19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47

Yn 5:21 SUV

Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.

Yn 5:22 SUV

Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote

Yn 5:27 SUV

Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu.

Yn 5:31 SUV

Mimi nikijishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu si kweli.

Yn 5:32 SUV

Yuko mwingine anayenishuhudia; nami najua ya kuwa ushuhuda wake anaonishuhudia ni kweli.

Yn 5:33 SUV

Ninyi mlituma watu kwa Yohana, naye akaishuhudia kweli.

Yn 5:34 SUV

Lakini mimi siupokei ushuhuda kwa wanadamu; walakini ninasema haya ili ninyi mpate kuokoka.

Yn 5:35 SUV

Yeye alikuwa taa iwakayo na kung’aa, nanyi mlipenda kuishangilia nuru yake kwa muda.

Yn 5:38 SUV

Wala neno lake hamnalo likikaa ndani yenu, kwa kuwa ninyi hammwamini yule aliyetumwa na yeye.

Yn 5:40 SUV

Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.

Yn 5:41 SUV

Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.

Yn 5:42 SUV

Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu.

Yn 5:46 SUV

Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu.

Yn 5:47 SUV

Lakini msipoyaamini maandiko yake, mtayaamini wapi maneno yangu?

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy