YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 2:11

Mathayo 2:11 NENO

Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mama yake, wakamsujudia na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 2:11