1
1 Wakorintho 5:11
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Lakini sasa nimewaandikieni kwamba msichangamane na mtu aitwae ndugu, akiwa mzinzi au mwenye kutamani an mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnangʼanyi; mtu wa namna hii msikubali hatta kula nae.
Compare
Explore 1 Wakorintho 5:11
2
1 Wakorintho 5:7
Bassi, jisafisheni, mkatoe ile chachu ya kale, illi mwe donge jipya, kama vule mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana Pasaka yetu amekwisha kutolewa sadaka kwa ajili yetu, yaani Kristo
Explore 1 Wakorintho 5:7
3
1 Wakorintho 5:12-13
Maana yanikhusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu walio ndani? Bali hao walio nje Mungu atawahukumu. Mwondoeni mtu yule mbaya, asikae kwenu.
Explore 1 Wakorintho 5:12-13
Home
Bible
Plans
Videos