1
1 Wakorintho 4:20
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, hali katika nguvu.
Compare
Explore 1 Wakorintho 4:20
2
1 Wakorintho 4:5
Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.
Explore 1 Wakorintho 4:5
3
1 Wakorintho 4:2
Tena inayohitajiwa katika mawakili, ndio mtu aonekane amini.
Explore 1 Wakorintho 4:2
4
1 Wakorintho 4:1
MTU na atubesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu.
Explore 1 Wakorintho 4:1
Home
Bible
Plans
Videos