1
Waroma 3:23-24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
kwa maana wote wamefanya zambi na kukosa utukufu wa Mungu. Lakini kwa neema ya Mungu wanahesabiwa haki kwa bure kwa njia ya Kristo Yesu anayewakomboa.
Compare
Explore Waroma 3:23-24
2
Waroma 3:22
kuhesabiwa haki na Mungu kunapatikana kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote wanaoamini, kwa maana hakuna tofauti yoyote kati yao
Explore Waroma 3:22
3
Waroma 3:25-26-25-26
Kristo alitolewa na Mungu kuwa sadaka ya usamehe wa zambi kwa njia ya damu yake kwa ajili ya wenye kumwamini. Mungu alifanya hivi kwa kuonyesha haki yake. Zamani, katika uvumilivu wake, aliacha kuazibu zambi za watu. Lakini kwa wakati wa sasa anaonyesha haki yake kusudi akuwe mwenye haki na kumuhesabia haki kila mutu anayemwamini Yesu.
Explore Waroma 3:25-26-25-26
4
Waroma 3:20
Kwa sababu hakuna mutu atakayehesabiwa haki mbele ya Mungu kwa kuwa anatii Sheria, maana Sheria inamusaidia mutu tu kwa kutambua kwamba amefanya zambi.
Explore Waroma 3:20
5
Waroma 3:10-12
Ni sawa ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Hakuna hata mutu mumoja mwenye haki! Hakuna mutu mwenye ufahamu, hakuna mwenye kushugulika na Mungu. Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.
Explore Waroma 3:10-12
6
Waroma 3:28
Kwa maana tunaona kama mutu anahesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya imani wala si kwa njia ya kutii Sheria.
Explore Waroma 3:28
7
Waroma 3:4
Hapana hata kidogo! Sherti Mungu ajulikane kuwa mwenye ukweli, na kila mutu kuwa mwongo, kama inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Ee Mungu, sherti ujulikane kuwa mwenye haki katika masemi yako. Nawe ushinde wakati unaposhitakiwa.”
Explore Waroma 3:4
Home
Bible
Plans
Videos