1
Waroma 2:3-4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi wewe unawahukumu wale wanaofanya mambo yale, lakini wewe mwenyewe unayafanya! Unafikiri kwamba utaponyoka hukumu ya Mungu? Au haujali na uwingi wa wema, utulivu na uvumilivu wa Mungu? Haujui kwamba wema wake ungeweza kukuongoza hata upate kugeuka toka zambi?
Compare
Explore Waroma 2:3-4
2
Waroma 2:1
Wewe unayemuhukumu mwingine hauna namna yoyote ya kujitetea, haizuru wewe ni nani. Kwa maana wakati unapohukumu mwingine, unajikatia hukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu unatenda mambo yale yale.
Explore Waroma 2:1
3
Waroma 2:11
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Explore Waroma 2:11
4
Waroma 2:13
Ni vile kwa sababu si wale wanaosikia Sheria ndio wanaohesabiwa haki mbele ya Mungu, lakini ni wale wanaotii Sheria.
Explore Waroma 2:13
5
Waroma 2:6
Kwa maana Mungu atamulipa kila mutu kwa kadiri ya matendo yake.
Explore Waroma 2:6
6
Waroma 2:8
Lakini wapingaji na wale wanaokataa kufuata ukweli, wakifuata uovu, wataangukiwa na kasirani na hasira ya Mungu.
Explore Waroma 2:8
7
Waroma 2:5
Lakini wewe ni mugumu na mwenye moyo usiotaka kugeuka. Kwa hiyo unajiwekea azabu kubwa siku Mungu atakapoonyesha kasirani yake na hukumu yake ya haki.
Explore Waroma 2:5
Home
Bible
Plans
Videos