1
Ufunuo 16:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Sikiliza, ninakuja kwa saa isiyozaniwa kama vile mwizi. Heri yule anayekesha na kutunza nguo zake vizuri kusudi asitembee uchi na kujifezehesha mbele ya watu.”
Compare
Explore Ufunuo 16:15
2
Ufunuo 16:12
Malaika wa sita akamwanga kikombe chake katika muto mukubwa Furati. Maji yake yakakauka kusudi njia itengenezwe kwa ajili ya wafalme wanaotoka mashariki.
Explore Ufunuo 16:12
3
Ufunuo 16:14
Hawa ndio pepo wanaoonyesha vitambulisho. Nao ndio wanaokwenda kwa wafalme wote wa dunia na kuwakusanya kwa kupigana vita Siku ile kubwa ya Mungu Mwenye Uwezo.
Explore Ufunuo 16:14
4
Ufunuo 16:13
Halafu nikaona pepo wachafu watatu wanaofanana na vyura wakitoka ndani ya kinywa cha yule nyoka mukubwa, na ndani ya kinywa cha yule nyama wa ajabu na cha yule nabii wa uongo.
Explore Ufunuo 16:13
5
Ufunuo 16:9
Watu wakaunguzwa na lile joto kali, hata wakatukana jina la Mungu anayekuwa na uwezo wa kuamuru mapigo yale. Wakakataa kugeuka toka zambi zao na kumutukuza Mungu.
Explore Ufunuo 16:9
6
Ufunuo 16:2
Malaika wa kwanza akamwanga kikombe chake katika dunia. Halafu majipu mabaya na yenye kuumiza sana yakaota juu ya watu waliokuwa na chapa ya yule nyama na walioabudu sanamu yake.
Explore Ufunuo 16:2
7
Ufunuo 16:16
Na wale pepo wakawakusanya wale wafalme kwenye nafasi inayoitwa katika Kiebrania “Harmagedoni.”
Explore Ufunuo 16:16
Home
Bible
Plans
Videos