1
Ufunuo 15:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ewe Bwana, hakuna asiyekuogopa, wala hakuna asiyekutukuza, kwa maana wewe peke yako ndiwe mutakatifu. Mataifa yote yatakuja kukuabudu, kwa maana matendo yako ya haki yameonyeshwa wazi.”
Compare
Explore Ufunuo 15:4
2
Ufunuo 15:1
Kisha nikaona tena katika mbingu kitambulisho kingine kikubwa na cha kushangaza sana. Kulikuwa wamalaika saba wanaoshika mapigo saba. Mapigo haya ndiyo yaliyokuwa ya mwisho, kwa maana ni yale Mungu atakayotumia kwa kutimiza kasirani yake.
Explore Ufunuo 15:1
Home
Bible
Plans
Videos