YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 16:2

Ufunuo 16:2 SWC02

Malaika wa kwanza akamwanga kikombe chake katika dunia. Halafu majipu mabaya na yenye kuumiza sana yakaota juu ya watu waliokuwa na chapa ya yule nyama na walioabudu sanamu yake.