1
Zaburi 46:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Anakomesha vita popote katika dunia. Anavunjavunja pinde na mikuki, nayo magari ya vita anayateketeza.
Compare
Explore Zaburi 46:10
2
Zaburi 46:1-2
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora: Kwa mutindo wa Sauti ya juu kabisa. Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu; yeye ni musaada wetu wakati wa taabu.
Explore Zaburi 46:1-2
3
Zaburi 46:4-5
hata kama bahari ikichafuka na kutisha, na milima ikitetemeka kwa machafuko yake. Kuna muto ambao maji yake yanafurahisha muji wa Mungu, makao matakatifu ya Mungu Mukubwa.
Explore Zaburi 46:4-5
4
Zaburi 46:9
Mukuje muone matendo ya Yawe. Muone maajabu aliyofanya katika dunia.
Explore Zaburi 46:9