Zaburi 46:1-2
Zaburi 46:1-2 SWC02
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora: Kwa mutindo wa Sauti ya juu kabisa. Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu; yeye ni musaada wetu wakati wa taabu.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Wakora: Kwa mutindo wa Sauti ya juu kabisa. Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu; yeye ni musaada wetu wakati wa taabu.