1
Zaburi 43:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mbona ninahuzunika hivyo katika moyo? Kwa nini ninahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamutumainia Mungu, nitamusifu tena yeye anayekuwa musaada wangu na Mungu wangu.
Compare
Explore Zaburi 43:5
2
Zaburi 43:3
Utumie mwangaza na ukweli wako viniongoze, vinipeleke kwenye mulima wako mutakatifu, kwenye makao yako.
Explore Zaburi 43:3
3
Zaburi 43:1
Unipatie haki yangu, ee Mungu; uyatetee maneno yangu mbele ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu.
Explore Zaburi 43:1