1
Zaburi 42:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nimepondekana kwa ajili ya matukano yao, wanaponiuliza kila siku: “Mungu wako, yupo wapi?”
Compare
Explore Zaburi 42:11
2
Zaburi 42:1-2
Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Wakora. Kama pongo anavyotamani maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu!
Explore Zaburi 42:1-2
3
Zaburi 42:5
Katika huzuni yangu, ninakumbuka jinsi nilivyokwenda na kundi la watu na kuwaongoza kwenda katika nyumba ya Mungu wakipiga vigelegele vya shukrani, kundi la watu likifanya sherehe!
Explore Zaburi 42:5
4
Zaburi 42:3
Ninasikia kiu ya Mungu, kiu ya Mungu Mwenye Uzima. Nitafika kwake wakati gani na kuuona uso wake?
Explore Zaburi 42:3
5
Zaburi 42:6
Mbona ninaugua hivyo katika moyo? Kwa nini ninahangaika hivyo ndani yangu? Nitamutumainia Mungu, maana nitamusifu tena yeye anayekuwa musaada wangu na Mungu wangu.
Explore Zaburi 42:6