1
Zaburi 44:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wewe ndiwe uliyetuokoa kutoka waadui zetu; uliwavuruga wale waliotuchukia.
Compare
Explore Zaburi 44:8
2
Zaburi 44:6-7
Kwa nguvu yako tunawashinda waadui zetu, kwa jina lako tunawakanyaga wanaotushambulia. Mimi sitegemei upinde wangu, wala upanga wangu hauwezi kuniokoa.
Explore Zaburi 44:6-7
3
Zaburi 44:26
Tumeinama mpaka katika mavumbi, tumebanana na udongo.
Explore Zaburi 44:26