1
Zaburi 36:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unawashibisha kwa utajiri wa nyumba yako; unawakunywesha katika muto wa wema wako.
Compare
Explore Zaburi 36:9
2
Zaburi 36:7
Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama vilindi vya bahari. Wewe, ee Yawe, unawalinda wanadamu na nyama.
Explore Zaburi 36:7
3
Zaburi 36:5
Anapolala anawaza kutenda maovu, anajiweka katika njia isiyokuwa nzuri, wala hachukii uovu.
Explore Zaburi 36:5
4
Zaburi 36:6
Wema wako, ee Yawe, unaenea hata mbinguni; uaminifu wako unafika hata kwenye mawingu.
Explore Zaburi 36:6