1
Zaburi 31:24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mumupende Yawe, enyi watakatifu wake wote. Yawe anawalinda watu waaminifu; lakini anawaazibu kabisa wenye kiburi jinsi wanavyostahili.
Compare
Explore Zaburi 31:24
2
Zaburi 31:15
Lakini mimi ninakutumainia wewe, ee Yawe. Ninasema: “Wewe ni Mungu wangu!”
Explore Zaburi 31:15
3
Zaburi 31:19
Funga midomo ya hao watu waongo, watu wenye kiburi na majivuno, ambao wanazarau watu wa haki.
Explore Zaburi 31:19
4
Zaburi 31:14
Ninasikia watu wakinongonezana; kuna vitisho kila upande. Wanafanya shauri baya juu yangu, wanafanya mipango ya kuniua.
Explore Zaburi 31:14
5
Zaburi 31:3
Unitegee sikio, uniokoe haraka! Ukuwe kwangu kikingio na kimbilio, kusudi nipate kuokoka.
Explore Zaburi 31:3
6
Zaburi 31:5
Uniopoe katika mutego walionitegea; maana wewe ni mulinzi wangu.
Explore Zaburi 31:5
7
Zaburi 31:23
Nami niliogopa na kuzani kwamba ulikuwa umenitupa; kumbe, ulisikia kilio changu nilipokuita unisaidie.
Explore Zaburi 31:23
8
Zaburi 31:1
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.
Explore Zaburi 31:1