1
Zaburi 30:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mumwimbie Yawe sifa, enyi waaminifu wake; mukumbuke utakatifu wake na kumushukuru.
Compare
Explore Zaburi 30:5
2
Zaburi 30:11-12
Usikie, ee Yawe, unihurumie; ee Yawe, unisaidie!” Wewe umegeuza malalamiko yangu kuwa ngoma ya furaha; umeniondolea huzuni yangu, ukanijaza furaha.
Explore Zaburi 30:11-12
3
Zaburi 30:2
Ninakutukuza, ee Yawe, maana umeniokoa, wala haukuwaacha waadui zangu wanisimange.
Explore Zaburi 30:2
4
Zaburi 30:4
Ee Yawe, umeniokoa kutoka kuzimu; umenipa tena uzima, umenitoa kutoka kati ya wafu.
Explore Zaburi 30:4
5
Zaburi 30:1
Mashairi yanayoelekea muzinduo wa hekalu. Zaburi ya Daudi.
Explore Zaburi 30:1