1
Zaburi 32:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.
Compare
Explore Zaburi 32:8
2
Zaburi 32:7
Wewe unanificha kwa kunilinda wakati wa taabu. Ninazungukwa na ukombozi wako.
Explore Zaburi 32:7
3
Zaburi 32:5
Kisha niliitikia makosa yangu mbele yako, wala sikuficha uovu wangu. Nilisema kwamba nitaungama makosa yangu mbele ya Yawe. Nawe ukanisamehe zambi yangu.
Explore Zaburi 32:5
4
Zaburi 32:1
Zaburi ya Daudi: Mashairi. Heri mutu aliyesamehewa kosa lake, mutu ambaye zambi yake imeondolewa kabisa.
Explore Zaburi 32:1
5
Zaburi 32:2
Heri mutu ambaye Yawe hamuhesabii kosa, mutu ambaye hana udanganyifu ndani ya moyo wake.
Explore Zaburi 32:2
6
Zaburi 32:6
Kwa hiyo, kila mwaminifu akutolee maombi wakati wa taabu. Mafuriko ya maji hayatamufikia.
Explore Zaburi 32:6