1
Zaburi 143:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Unifundishe kutimiza mapenzi yako, maana wewe ni Mungu wangu! Roho wako muzuri aniongoze katika njia sawa.
Compare
Explore Zaburi 143:10
2
Zaburi 143:8
Kila asubui unionyeshe wema wako, maana ninakutumainia. Unifundishe mwenendo wa kufuata, maana ninakutolea moyo wangu.
Explore Zaburi 143:8
3
Zaburi 143:9
Uniokoe, ee Yawe, kutoka waadui zangu, maana ninakimbilia kwako.
Explore Zaburi 143:9
4
Zaburi 143:11
Ulinde uzima wangu, ee Yawe, kwa ajili ya jina lako, uniondoe katika taabu, kwa ajili ya haki yako.
Explore Zaburi 143:11
5
Zaburi 143:1
Zaburi ya Daudi. Usikie maombi yangu, ee Yawe! Ulitegee ombi langu sikio, maana wewe ni mwaminifu; unijibu kwa sababu ya haki yako.
Explore Zaburi 143:1
6
Zaburi 143:7
Ee Yawe, unijibu haraka; maana roho yangu imeregea kabisa! Usinigeuzie mugongo, kusudi nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.
Explore Zaburi 143:7
7
Zaburi 143:5
Ninakumbuka siku za zamani, ninafikiri juu ya yote uliyotenda, ninawazawaza matendo yako.
Explore Zaburi 143:5