1
Zaburi 142:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nikiangalia kwa kuume kwangu na kungojea, ninaona hakuna mutu wa kunisaidia; sina tena nafasi ya kukimbilia, hakuna mutu anayenijali.
Compare
Explore Zaburi 142:5
2
Zaburi 142:7
Usikilize kilio changu, maana nimetabanika sana; uniokoe kutoka watesaji wangu, maana wamenizidi nguvu.
Explore Zaburi 142:7
3
Zaburi 142:3
Ninamutolea malalamiko yangu, ninamwelezea taabu zangu.
Explore Zaburi 142:3
4
Zaburi 142:1
Mashairi ya Daudi alipokuwa ndani ya pango.
Explore Zaburi 142:1
5
Zaburi 142:6
Ninakulilia wewe, ee Yawe! Wewe ni kimbilio langu; wewe ni hitaji langu lote katika inchi ya wenye uzima.
Explore Zaburi 142:6