1
Mezali 10:22
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Baraka za Yawe ndizo zinazoleta utajiri. Juhudi za mutu haziongezi kitu.
Compare
Explore Mezali 10:22
2
Mezali 10:19
Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.
Explore Mezali 10:19
3
Mezali 10:12
Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.
Explore Mezali 10:12
4
Mezali 10:4
Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.
Explore Mezali 10:4
5
Mezali 10:17
Anayekubali kufundishwa anaelekea kwenye uzima, lakini anayekataa kuonywa amepotoka.
Explore Mezali 10:17
6
Mezali 10:9
Anayeishi kwa ukamilifu anaishi salama, lakini anayepotosha maisha yake atagunduliwa.
Explore Mezali 10:9
7
Mezali 10:27
Kumwogopa Yawe kunarefusha maisha, lakini miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Explore Mezali 10:27
8
Mezali 10:3
Yawe hawaachi wenye haki wapate njaa, lakini anapinga tamaa za waovu.
Explore Mezali 10:3
9
Mezali 10:25
Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.
Explore Mezali 10:25