Kuna vitu sita Yawe anavyochukia,
hata saba ambavyo ni chukizo kwake:
Macho ya kiburi,
ulimi mudanganyifu,
mikono inayoua wasiokuwa na kosa,
moyo unaopanga mipango miovu,
miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,
mushuhuda wa uongo anayesema uongo,
na mutu anayechochea fitina kati ya wandugu.