1
Mezali 4:23
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Linda moyo wako kwa uangalifu wote, maana mule munatokea chemichemi za uzima.
Compare
Explore Mezali 4:23
2
Mezali 4:26
Chunguza sana njia utakayopitia, na hatua zako zote zitakuwa kamili.
Explore Mezali 4:26
3
Mezali 4:24
Tenga mbali nawe luga potovu; wala midomo yako isiseme maneno madanganyifu.
Explore Mezali 4:24
4
Mezali 4:7
Jambo la musingi ni kujipatia hekima; toa vyote unavyokuwa navyo ujipatie akili.
Explore Mezali 4:7
5
Mezali 4:18-19
Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili. Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.
Explore Mezali 4:18-19
6
Mezali 4:6
Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.
Explore Mezali 4:6
7
Mezali 4:13
Shika mafundisho ya hekima na usimwache iponyoke, uishike kwa uangalifu maana ni uzima wako.
Explore Mezali 4:13
8
Mezali 4:14
Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.
Explore Mezali 4:14
9
Mezali 4:1
Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.
Explore Mezali 4:1