Mezali 4:18-19
Mezali 4:18-19 SWC02
Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili. Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.
Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili. Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.