1
Mezali 28:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.
Compare
Explore Mezali 28:13
2
Mezali 28:26
Anayetegemea akili yake mwenyewe ni mupumbafu; lakini anayeishi kwa hekima atakuwa salama.
Explore Mezali 28:26
3
Mezali 28:1
Waovu wanakimbia ijapokuwa hawafukuzwi na mutu, lakini wenye haki ni hodari kama simba.
Explore Mezali 28:1
4
Mezali 28:14
Heri mutu anayemwogopa Yawe siku zote, lakini mwenye moyo mugumu atapata hasara.
Explore Mezali 28:14
5
Mezali 28:27
Anayesaidia wamasikini hatakosewa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.
Explore Mezali 28:27
6
Mezali 28:23
Anayemwonya mwenzake kwa mwisho atasifiwa naye, kuliko yule anayemubembeleza kwa maneno matamu.
Explore Mezali 28:23