1
Mezali 29:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kuogopa watu ni kujitega mwenyewe, lakini anayemutumainia Yawe yuko salama.
Compare
Explore Mezali 29:25
2
Mezali 29:18
Pasipo maono ya kinabii, watu wanashindwa kujizuiza. Heri mutu yule anayeshika sheria.
Explore Mezali 29:18
3
Mezali 29:11
Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.
Explore Mezali 29:11
4
Mezali 29:15
Azabu na maonyo vinaleta hekima, lakini mutoto aliyeachiliwa anapatisha mama yake haya.
Explore Mezali 29:15
5
Mezali 29:17
Umwazibu mwana wako naye hatakupa wasiwasi; yeye atafurahisha moyo wako.
Explore Mezali 29:17
6
Mezali 29:23
Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.
Explore Mezali 29:23
7
Mezali 29:22
Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.
Explore Mezali 29:22
8
Mezali 29:20
Unamwona mutu anayesema bila kufikiri? Mutu mupumbafu ni afazali kuliko yeye.
Explore Mezali 29:20