1
Mezali 22:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Umufundishe mutoto njia anayopaswa kufuata, naye hataiacha hata katika uzee.
Compare
Explore Mezali 22:6
2
Mezali 22:4
Ukinyenyekea na kumwogopa Yawe, utapata zawadi ya fanaka, heshima, na uzima.
Explore Mezali 22:4
3
Mezali 22:1
Afazali kuwa na sifa nzuri kuliko mali mengi. Kupata kukubaliwa ni bora kuliko feza au zahabu.
Explore Mezali 22:1
4
Mezali 22:24
Usifanye urafiki na mutu wa hasira, wala usiandamane na mwenye kukasirika upesi.
Explore Mezali 22:24
5
Mezali 22:9
Mutu mwenye kuwa tayari kusaidia atabarikiwa, maana anagawanya chakula chake na masikini.
Explore Mezali 22:9
6
Mezali 22:3
Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.
Explore Mezali 22:3
7
Mezali 22:7
Tajiri anamutawala masikini. Mwenye kukopesha ni mutumwa wa mwenye kukopeshwa.
Explore Mezali 22:7
8
Mezali 22:2
Watajiri na wamasikini wana hali hii moja: Yawe ni Muumba wao wote.
Explore Mezali 22:2
9
Mezali 22:22-23
Usinyanganye masikini mali yake kwa sababu ni masikini, wala usimunyime mukosefu haki yake katika tribinali. Maana Yawe atawatetea; atagandamiza maisha ya wale wanaowagandamiza.
Explore Mezali 22:22-23