1
Mezali 23:24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Baba wa mutoto mwenye haki atajaa furaha; anayezaa mutoto mwenye hekima atamufurahia.
Compare
Explore Mezali 23:24
2
Mezali 23:4
Usijichokeshe na kutafuta utajiri; acha kufikiri juu yake.
Explore Mezali 23:4
3
Mezali 23:18
Hakika siku nzuri zitafika na tumaini lako halitakuwa la bure.
Explore Mezali 23:18
4
Mezali 23:17
Moyo wako usiwaonee wivu wenye zambi, lakini endelea kumwogopa Yawe siku zote.
Explore Mezali 23:17
5
Mezali 23:13
Usiache kufundisha mutoto; ukimupiga fimbo hatakufa.
Explore Mezali 23:13
6
Mezali 23:12
Tumia akili yako kwa kufuata mafundisho; tumia masikio yako kwa kusikiliza maarifa.
Explore Mezali 23:12
7
Mezali 23:5
Macho yako yatakapokuwa yanaanza tu kuuona, nao utatoweka mara moja. Maana hakika utajiri unaota mabawa, unaruka na kutoweka katika anga kama tai.
Explore Mezali 23:5
8
Mezali 23:22
Umusikilize baba yako aliyekuzaa, wala usimuzarau mama yako akizeeka.
Explore Mezali 23:22