1
Mezali 21:21
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Anayetafuta haki na wema atapata uzima, haki, na heshima.
Compare
Explore Mezali 21:21
2
Mezali 21:5
Mipango ya mutu wa bidii inaleta mali kwa wingi, lakini kila mutu anayetenda kwa harakaharaka anapata umasikini.
Explore Mezali 21:5
3
Mezali 21:23
Anayechunga kinywa chake na ulimi wake, anajiepusha na matatizo.
Explore Mezali 21:23
4
Mezali 21:2
Matendo yote ya mutu ni sawa katika macho yake, lakini Yawe anapima mioyo.
Explore Mezali 21:2
5
Mezali 21:31
Farasi anatayarishwa kwa vita, lakini ushindi unaletwa na Yawe.
Explore Mezali 21:31
6
Mezali 21:3
Kutenda mambo ya haki na kufuata sheria ya Mungu kunamupendeza Yawe kuliko sadaka.
Explore Mezali 21:3
7
Mezali 21:30
Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.
Explore Mezali 21:30
8
Mezali 21:13
Anayekataa kusikia kilio cha masikini hatasikilizwa atakapolilia musaada.
Explore Mezali 21:13