1
Mezali 20:22
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Usiseme: “Nitalipiza ubaya niliotendewa.” Umutegemee Yawe naye atakusaidia.
Compare
Explore Mezali 20:22
2
Mezali 20:24
Hatua za mutu zinaongozwa na Yawe; mwanadamu anaweza namna gani kuelewa njia yake?
Explore Mezali 20:24
3
Mezali 20:27
Zamiri ya mutu ni taa ya Yawe; inachunguza nafsi ya mutu mpaka ndani kabisa.
Explore Mezali 20:27
4
Mezali 20:5
Mafikiri ya mutu ndani ya moyo wake ni kama kilindi cha maji; lakini mutu mwenye akili anajua kuyachota mule.
Explore Mezali 20:5
5
Mezali 20:19
Mupiga domo hafichi siri. Kwa hiyo umwepuke mutu wa kusemasema.
Explore Mezali 20:19
6
Mezali 20:3
Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.
Explore Mezali 20:3
7
Mezali 20:7
Heri watoto wa mutu wa haki mwenye mwenendo mukamilifu!
Explore Mezali 20:7